




Mazee Eid ya mwaka huu tulikua maeneo ya Sengerema...nikiwa na my right hand dawg Bwana Misosi kama kawa tulikutana na machizi kibao waoheshimika ktk sanaa ya bongo....feruz, jmo, mox, richone, na wana wengine kibao, aisee tuliwashika watu ileile.....checkshia masnaps tuliyopiga.
No comments:
Post a Comment