Wednesday, September 15, 2010

BATA LA EID






Mazee Eid ya mwaka huu tulikua maeneo ya Sengerema...nikiwa na my right hand dawg Bwana Misosi kama kawa tulikutana na machizi kibao waoheshimika ktk sanaa ya bongo....feruz, jmo, mox, richone, na wana wengine kibao, aisee tuliwashika watu ileile.....checkshia masnaps tuliyopiga.

BATA LA EID

Wednesday, September 1, 2010

SO CLOSE KUTENGA MLO

On my way to Kisiwani
ndani ya kivuko

Mazee niko mapumzikoni kisiwani, mapumziko haya nayatumia kukamilisha kile nilichowaahidi "album yangu"
Sitowangusha watu wangu...pamoja tupeleke gurudumu la hiphop panapotakiwa.
1LOVE.