


Mapamabano yanaendelea....Hip Hop naipenda na nitaipigania til my last drop ya damu,
I knw kuwa wapo binadamu wanaochukizwa na mtu bila hata kukwaruzana..i accept that cz its human nature, lakini nataka kuwahakikishia wote wanaotaka kurudisha maendeleo yangu nyuma kuwa SITOTISHWA WALA KUKATISHWA TAMAA na yale wafanyayo.
1LUV.
No comments:
Post a Comment