My fans i've been kimya kimtindo ila mambo mazuri...hivi karibuni mtapata kuona na kusikia kazi yangu mpya inaitwa Mapigo...ni mkono wa Q the Donn wa Mo Records na video kama kawa anakamatia Kinye wa KINYE MEDIA...usipime, kaa mkao wa kula sikukuu na hii ngoma yangu.
Hallaa!!