Tuesday, May 18, 2010

MISOSI HONGERA



Nachukua fursa hii kueleza miguso ya mtima wangu kwa kumpongeza my men Bw. Misosi aka food kwa kuchukua tuzo ya wimbo bora wa Ragga katika tuzo za Kili Tanzania Music Awards...he really deserved kushinda and thank to ya all kwa kuvote au kwa support yoyote mliyoonyesha kwake. Harakati zinaendelea...subirini mengi mazuri toka kwangu. 1love.
Darkmaster.